MFUMO TIMS KUBORESHA USIMAMIZI WA UWEKEZAJI KULETA TIJA ENDELEVU: KAPINGA

 

Na Jumanne Magazi 

26.06.2025

Dar es salaam 

NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema mfumo maalum wa kidigitali wa TIMS uliyoundwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) utaongeza uwazi, utaimarisha ufanisi na kuvutia uwekezaji katika sekta ya nishati kwa maendeleo ya T.

Kapinga ameyasema hayo leo Juni 25, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akizindua mfumo huo uliotengenezwa na wafanyakazi wa ndani wa shirika hilo.

Amesema hatua ya kuzindua mfumo huo ni ya muhimu katika kuendelea kuboresha sekta ya nishati kutumia suluhisho za kisasa za kidigitali hivyo anampongeza Mkurugenzi Mtendaji  wa Tanesco na timu yake kufanikisha jambo hilo ambalo linakwenda kuongeza ufanisi katika kutekeleza miradi iliyochini ya shirika hilo.

Amesema hatua ya kuzindua mfumo huo ni ya muhimu katika kuendelea kuboresha sekta ya nishati kutumia suluhisho za kisasa za kidigitali hivyo anampongeza Mkurugenzi Mtendaji  wa Tanesco na timu yake kufanikisha jambo hilo ambalo linakwenda kuongeza ufanisi katika kutekeleza miradi iliyochini ya shirika hilo.

Amesema hatua ya kuzindua mfumo huo ni ya muhimu katika kuendelea kuboresha sekta ya nishati kutumia suluhisho za kisasa za kidigitali hivyo anampongeza Mkurugenzi Mtendaji  wa Tanesco na timu yake kufanikisha jambo hilo ambalo linakwenda kuongeza ufanisi katika kutekeleza miradi iliyochini ya shirika hilo.

“Nimefarijika kusikia kwamba mfumo huu umetengenezwa na wafanyakazi wetu wa ndani ya shirika, hii inadhihirisha uwezo mzuri wa wafanyakazi, hali ya kazi na ubunifu iliyopo kwa wafanyakazi serikalini hususani katika shirika letu la Tanesco

Powered by Blogger.