YAS: YAENDELEA KUMWAGA ZAWADI ZA "MAGIFT YA KUGIFT" WIKI YA TANO WANAWAKE WATIA "FORA" WA 3 KILA MMOJA AKIONDOMA NA MIL 1

Na. Jumanne Magazi 
Kampuni ya Mawasiliano ya Yas Tanzania Leo hii Desemba 13 2024, imekabidhi zawadi kwa washindi wa 3 PROMOSHENI ya "Magift Kugift"


 Balozi wa "Magift ya Kugift" Kutoka Yas Haji Sunday manara akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washindi mbalimbali wa zawadi hizo kwa wiki ya 5 sasa.

Kampuni ya YAS TANZANIA imekuwa Ikiendesha promosheni hiyo ambapo hadi sasa kiasi cha Shilingi Zaidi ya mil 60 zimeshatolea zikienda sambamba na zawadi zingine zikiwemo simu za mkononi
Powered by Blogger.