Na Mwandishi wetu
Manyoni
Singida
Jan 22,2026
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga, katika ziara yake katika Makao Makuu ya Kamandi ya Jeshi la Akiba alitembelea pia Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Utawala la Kamandi hiyo ambao umefikia asilimia 75 na unatarajiwa kukamilika hivi karibuni.
Post a Comment