TANESCO YAOKOA BIL 200 BAADA YA KUBAINI WIZI WA UMEME KWENYE KIWANDA MKURANGA
Mpango wa kudhibiti mapato ya Serikali yanawezekana
Yaahidi zawadi nono kwa wananchi watakao toa taarifa za wahujumu kupitia mfumo wa Whistleblower
Kukamilika kwa mradi huu kunatajwa kusaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ufanisi wa usafirishaji wa umeme kutoka Kinyerezi hadi Mabibo jambo litakalopelekea kuimarika kwa uwezo wa kituo cha Ubungo sambamba na kuboresha upatikanaji wa umeme katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.
Post a Comment