KADI ZA ZAMANI ZA MPIGA KURA NI HALALI: TUME
Akizungumza wakati wa ziara aliyoifanya ya kukagua vituo vya kuandikishia wapiga kura leo tarehe 22 Julai, 2024 katika
“Naomba nitoe wito kwa wale ambao kadi zao ni zile zenye jina la Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wanadhania kuwa kubadilika kwa jina la Tume kunasababisha kubadili kadi watambue kuwa kadi zao ni halali kwa mujibu wa kifungu cha 168 cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024,” amesema.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhan (kulia) akizungumza na Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Kasulu Vijini, Bw. Emmanuel Ladislaus alipofika kwenye ofisi za afisa mwandikishaji huyo kwa ajili ya kufanya ziara ya kukagua vituo vya kuandikisha wapiga kura.
3-10: Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhan akiwa kwenye ziara ya kukagua vituo ambapo kwenye baadhi ya maeneo aliagiza kuongezwa kwa BVR Kit kutokana na hamasa kubwa ya wananchi waliojitokeza kujiandikisha na wapiga kura waliojitokeza kuboresha taarifa zao.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhan akiwa kwenye ziara ya kukagua vituo ambapo kwenye baadhi ya maeneo aliagiza kuongezwa kwa BVR Kit kutokana na hamasa kubwa ya wananchi waliojitokeza kujiandikisha na wapiga kura waliojitokeza kuboresha taarifa zao.
Post a Comment